Filter
Exclude
Time range
-
Near
5 Feb 2024
Yanga yapata ushindi wa goli moja dakika za mwisho dhidi ya Dodoma Jiji, Chamazi Complex FT: YANGA 1⃣ - 0⃣ DODOMA JIJI #PlusXtraUpdates
1
3
174
2 Feb 2024
Yanga na Kagera Sugar wagawana pointi baada ya kusuluhu katika uwanja wa Kaitaba. FT: Yanga 0⃣ - 0⃣ Kagera Sugar #PlusXtraUpdates
2
50
31 Jan 2024
Azam Sports Federation Cup 'ASFC' FT: Simba SC 4⃣ - 0⃣ Tembo fc #PlusXtraUpdates
2
59
30 Jan 2024
Mshambuliaji wa Manchester City, Erling Halaand (23) raia wa Norway rasmi amerejea mazoezini baada ya kuwa nje ya uwanja kwa majuma kadhaa kutoka na majeraha. Kocha Pep Guardiola amethibitisha kuwa ataanza kumtumia mshambuliaji huyo kwenye mchezo ujao. #PlusXtraUpdates
2
65
29 Jan 2024
Nyota huyu raia wa Switzerland (35) aliyekuwa anakipiga katika klabu ya Sevilla kwa sasa ameamua kuachana na waajiri wake hao na kujiunga na klabu ya Al Shabab iliyopo nchini Saudi Arabia kwa muda wa mwaka mmoja mpaka Juni, 2025. #PlusXtraUpdates
1
4
90
28 Jan 2024
Hassan Mwakinyo ndiye bondia bora kuwahi kutokea nchini? #PlusXtraUpdates
1
11
229
25 Jan 2024
"Hongera Taifa Stars, mmeonyesha ukuaji na uvumilivu. Ghana katoka, Algeria katoka. Sisi ni nani?" - Zitto Kabwe #PlusXtraUpdates
2
51
16 Jan 2024
Klabu ya As Roma imeachana na aliyekuwa mkufunzi wakez Jose Mourinho raia wa Ureno kufuatia mwenendo mbaya wa matokeo wa klabu hiyo. #PlusXtraUpdates
1
4
6
5,721
15 Jan 2024
Umegundua nini kupitia picha hii? #PlusXtraUpdates
1
3
140
13 Jan 2024
Wananchi wa Jamhuri ya Kenya ambao timu yao ya Taifa haijafuzu michuano dume ya AFCON mwaka huu, wataweza kupata darasa la namna ya kucheza michuano hiyo mubashara kupitia Tanzania na mataifa mengine makubwa yaliyofuzu LIVE kupitia television yao ya Taifa ya KBC #PlusXtraUpdates
13 Jan 2024
Wakenya kutazama Tanzania ikihangaika huko AFCON kupitia KBC bila malipo taifaleo.nation.co.ke/makala…
3
290
11 Jan 2024
Unadhani hakustahili kuwepo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania cha AFCON? #PlusXtraUpdates
1
3
136
10 Jan 2024
Hali ikoje huko Zanzibar? #PlusXtraUpdates
2
77
8 Jan 2024
Nyota wa Nyasa Big Bullets ya Malawi, Yamikani Fodya ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kulipwa. Nyota huyo ambaye ni kipenzi cha mashabiki wengi wa soka nchini Malawi amestaafu akiwa na umri mdogo wa miaka 32 tu. #PlusXtraUpdates
2
6
100
8 Jan 2024
Umewaagiza nini? #PlusXtraUpdates
1
3
10
237
7 Jan 2024
Tusaidieni matokeo ya Mapinduzi Cup huko Amaan Complex kwa wanaofahamu. #PlusXtraUpdates
3
92
7 Jan 2024
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Ia Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa katika kuijenga nchi hiyo kisasa wapo mbioni kuboresha usafiri wa umma kwa kuwa na mabasi ya umeme, treni pamoja na Taxi za baharini. #PlusXtraUpdates
4
77
7 Jan 2024
Viashiria vya upimaji wa utendaji kazi wa walimu kuanzia Januari hadi Desemba 2023 vimeonyesha kuna ongezeko la wanafunzi wa darasa la kwanza wanaomudu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kutoka asilimia 35 hadi 94.4. #PlusXtraUpdates
2
64
5 Jan 2024
1
11
345
4 Jan 2024
Nani amepiga free-kick nzuri zaidi. #PlusXtraUpdates
1
3
115
3 Jan 2024
Mshambuliaji mpya kinda wa FC Barcelona, Vitor Roque ni rasmi sasa atavaa jezi namba 19 ndani ya klabu hiyo kuanzia hivi sasa baada ya kukamilisha rasmi dili ya kujiunga na wababe hao wa Catalunya akitokea Athletico PR ya nchini Brazil. #PlusXtraUpdates
1
120