Mkurugenzi wa Taasisi ya Shule Direct na Mdau wa maendeleo ya elimu pamoja na mafunzo ya ujasiriamali kwa Wanawake, Faraja Kotta (
@FarajaNyalandu ) ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2004, amejiunga kwenye mbio za kisiasa kwa kuchukua fomu za Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa kuchukua fomu ya kuwania Ubunge wa Viti Maalum kupitia Jumuiya ya UWT Mkoa wa Tanga.
#MillardAyoUPDATES