Azolla, gugu maji liligeuka mkombozi kwa wakulima, wafugaji na vijana Tanzania
Azolla inachukua siku tatu tu tangu kulimwa na inakuwa imekamilika kuvunwa na kupatiwa mifugo kama kuku, ngβombe na nguruwe.
news.un.org/sw/story/2023/02β¦
Msemaji tumepigwa na kitu kizito.
Sasa kama tu vyombo vyako haviwezi kumpata mtu ,kwamba ni sisimizi haonekani anakuwa amekwenda wapi
Kauli hii inaashiria kwamba basi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hakuna kitu ndio sababu kubwa.
Hi Everyone
Hili ni chungwa aina ya Valencia
Ni tunda nzuri kwa matumizi ya nyumbani na kulima kibiashara
Miche iliyokwisha anza kuzaa utaipata kwa Tsh, 10,000/= tu
Mikoani Tunatuma
Call π 0754302242
πSUA, Morogoro
@EliabuDanford & @ReganTesla_ nipeni comments hapo,
Mimi nilikuja kushtukia nina uwezo mdogo wa comm skills ikabidi nianze kukaza
Hiyo ni video ya jana ππ
Leo nilipata nafasi ya kuzungumza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa chama cha wataalamu wa Kompyuta nchini Kenya.
Mkutano huo umefanyika Kilifi County kuanzia tar 24 mwezi huu na unatarajiwa kumalizika kesho huku mada kuu ikiwa ni βNavigating the Era of AI and accelerating digital revolutionβ
Miongoni mwa vitu nilivyozungumza ni pamoja na.
- Namna serikali za Afrika zinaweza kutumia teknolojia ya AI kwenye kuboresha Sekta ya ajira na kazi.
- Namna uzimaji/ufungaji wa mitandao unavyoathiri vipato vya vijana wengi ambao chanzo chao kikuu cha mapato ni mitandao.
- Namna serikali za Afrika zinavyoweza kutumia uchumi wa kidigitali kama njia ya kupunguza tatizo la ajira.
Nashukuru wanachama wa chama cha wataalamu wa kompyuta Kenya kwa kunipa nafasi ya kushare machache ninayoamini kwa namna moja ama nyingine yanaweza kukomboa vijana wa kiafrika kwenye zama hizi za teknolojia.