Farmer

Joined July 2014
35 Photos and videos
15 Aug 2024
Temporary strategy for a permanent solution
16
19 Mar 2023
43
17 Dec 2022
Same persons who are seen having good times are the same people who are perpetually broke!! Hii inaitwaje sijui🙈🤣
37
24 Oct 2022
Tanzanian of a SUKUMA origin becomes a Prime Minister of UK. Congratulations @RishiSunak
21 Apr 2021
Mbunge unaombea wapiga kura wako watozwe kodi. Mzee kapumzike
13 Apr 2021
Ramadhan ni moja kati ya Nguzo Kuu za Uislam. Anayekana wajibu wa Saumu basi amekuwa murtadi. Mwenyezi Mungu (s.w.t) ameifaradhisha Saumu. hekima ya saumu: kuweza kuthibiti nafsi, kuacha matamanio ya haramu na kuwa na subira Nawatakia ndugu zangu Waislam wote mfungo mwema
15 Sep 2020
Nafikiri ni jambo zuri watoto wakahudhuria kampeni. Hawapigi kura lakini kampeni zinawajengea uwezo wa kuona na kuelewa mambo. Baadae wataweza kupambanua na kujua nani anaongea upuuzi na nani ana mantiki. Au namna gani my friend!? Si ndio hivyo?
23 Jul 2020
I have learned with profound sadness the death of our beloved 3rd President of Tanzania, Benjamin William Mkapa. He was the great leader who through his famous slogan of “Uwazi na Ukweli” means truth and transparency, steered this country to another level. May He Rest in Peace.
1
2
Hivi Tanzania tunafanya nini kumuenzi Daniel Arap Moi? Nani asiyejua kama Mzee Moi, Rais Mkapa na M7 ndio walioifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki. Sasa kama Jumanne ni public holiday huko Kenya kwanini Tanzania isiwe public holiday. Huyu ni Mwanzilishi wa Jumuiya yetu. Tumuenzi!
3
21 Jan 2020
Nimejaribu kuwaza tu, Mara paaaap magoli ya @Samagoal77_ yanaipa ushindi Aston Villa na yanaitoa Aston Villa from the relegation zone. Kila la heri @Samagoal77_ @2chainz
2
3
23 Dec 2019
16 Dec 2019
For Yanga
15 Nov 2019
Thank you @BoiplusMedia
Habari kubwa kwenye kurasa za magazeti ya michezo leo. . . #BoiplusUpdates Powered by @GF_Trucks
1
2
Kobe Mpole retweeted
Equinor Block 2 Tanzania (Swahili) youtu.be/0IJ9Wn_wC6g via @YouTube

1
6
18
29 Oct 2019
Katika kumbukumbu za kuzaliwa JPM tusindikizwe na speech hii ya Baba wa Taifa. Tumegoma kuwa ombaomba
2
26 Oct 2019
Ndege ya nane mali ya Tanzania inawasili leo. Na nyingine mbili zinatengenezwa. Mambo ni moto kabisa. Kongole Tanzania.
1
1