In perfect world everyone is blind | @ManUtd |@realmadriden | @blackYellow |@inter_en | @yangasc1935 |Spooky place 134M...

Joined December 2011
10,316 Photos and videos
😎😎😎
17
31
276
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Viwanja vya ndege, vituo vya treni na mabasi, shule, hospitali nk, afadhali tungeviita kwa kutumia majina ya wanyama, hifadhi/rasilimali tulizonazo hapa nchini. Kuliko majina ya African corrupt leaders! Nampongeza aliyetoa jina la TANZANITE BRIDGE 🫡
SIR GE0RGE KAHAMA INTERNATIONAL AIRPORT. MSALATO. DODOMA. Pongezi kwa kazi nzito ya kukamilisha ujenzi wa uwanja wa Dodoma ifikapo Septemba. Pendekezo langu ni jina la kumuenzi Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa CDA, SIr George. Dodoma iliyopangwa ni yake. Mwanaushirika, Mpigania uhuru. Mmojawapo wa mawaziri katika 1st Cabinet. Rafiki wa karibu wa Mwalimu. Naomba kuwasilisha.
6
10
87
5,276
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
😀😀😀😀
Malawi's Government is seeking donations to help repatriate 10,000 of its citizens from South Africa following the migration crackdown.
1
2
179
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Nguvu mlizonazo; pesa mnazopoteza vyombo mnavotumia; KUVUNJA KATIBA, SHERIA; KUWAKAMATA NA KUWATESA VIONGOZI WA CHADEMA; mngetumia kuratibu mabadiliko chanya hasa KATIBA MPYA kurejesha amani na ummoja nchini. Vinginevyo mnajidanganya. Jamii inazidi kutengeneza hasira dhidi yenu.
Boni Yai amewasili katika ofisi hizo zilizopo Oysterbay leo Jumanne, Juni 16, 2026 saa 10:09 asubuhi, akiwa ameambatana na mawakili wake, akiwemo Hekima Mwasipu, pamoja na viongozi na wanachama wa Chadema waliofika kumuunga mkono wakati wa kuitikia wito huo.
1
18
59
2,202
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
VIDEO: Mbunge wa Tarime Vijini, Mwita Waitara, amependekeza Mbunge wa Baraza la Uwakilishi Zanzibar, Mohamed Simai Said aondolewe Bungeni, huku akimtaka amtaje mtu aliyemtuhumu kuwa ni 'yuda'.
9
20
113
7,298
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Size:43 [ 9 ] Tsh.135,000 CONTACTS: 255718007463 For pickup 🛵 📦 and delivery 🛵 🚚 #burunditiktok #zanzibar #tanzaniatiktok #Zambia #dodoma
1
7
10
201
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Inaonekan Jeshi La police lipo kwaajili ya CHADEMA wanajisahau wanatoka kwenye misingi Yao ya kazi sasa
1
7
67
1,206
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
‼️🚨ALERT🚨‼️ Kuna taarifa na video nimetumiwa ambazo nimeshindwa kuthibitisha independently kuwa Humphrey Polepole ametekwa Dar es Salaam na wahuni akina Mafwele! Unverified reports coming in that former ambassador to Cuba Humphrey Polepole has been abducted in Dar Es Salaam by Mafwele and his gang As we await verification we still demand @tanpol to stop acting illlegally and if arrested it should be made public! #FreeHumphreyPolepole
93
412
1,378
165,231
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Naona Siku Hizi Ajenda Kubwa Ya MaCCM Ni CHADEMA Kwanzia Ali Hapi, Kenani Mpaka Wassira Nadhani Wamegundua Bila Kuitaja CDM Hamna Anayewasikiliza Binafsi Sipingi CHADEMA Kubagazwa, Ndio Siasa, Lakini Nawakumbusha MaCCM Mkijibiwa Msikimbilie Polisi, Kwa Msajili Au Kuteka Watu
6
24
150
4,678
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Thobias Mwesiga Richard naona umeingia Nairobi kimya kimya , muwe mnasema hili mpokelewe kabisa, Kwamba wewe sasa ndiye unaweza safisha Nairobi sio? Huyo kijana wako ndiye mwenyewe, anakudanganya anajua njia? sasa jipange mambo yamebadilika sana, wewe utakuwa ushahidi mzuri sana
11
60
334
24,077
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Ccm walimtisha Nyerere kuwa akiruhusu vyama vingi ccm itatoka madarakani Nyerere hakuwa sikiliza hakukubali kuuziwa uoga vyama vingi vikaanzishwa ccm ipo bado lakini awamu hii ccm na viongozi wao ni waoga kweli kweli wanaogopa hata kesi ya Lissu kusikilizwa
2
6
70
2,800
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Unaitafuta nafasi ya KIHONGOSI kwa nguvu sana. Halafu na yeye alivyo boya wala hajui.
24
49
467
16,930
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Ukipata muda msikilize John Heche Asee kuna muda unawez juta kuzaliwa Tanganyika
2
21
79
3,558
Stanza anataka kuipeleka kwenye Udin bt number zinakataa
Türkiye ni secular state /republic
1
145
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Hivi Kwanini Serikali Ya CCM Isimuachie Huru Tundu Lissu Ili CHADEMA Waumie?
17
17
159
6,118
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Kosa moja kubwa ambalo madikteta huwa wanafanya.. Ni kufikiria kwamba dikteta mmoja alieanguka: 1. Labda hakua makini au mbinu zake zilikua dhaifu. 2. Labda vyombo vya dola vya Nchi hiyo havikua makini kumlinda huyo dikteta kama ambavyo vinamlinda yeye. 3. Labda version ya udikteta wa yule alieanguka ni wa chini au wa kizamani sio kama wake. Mwisho wa siku akianguka ndio anagundua kwamba yeye hakua na ujanja wowote kuliko wengine lakini inakua too late. Dunia imeshuhudia Adolf Hitler, Gadaffi na familia yake, Mobutu Seseko, Omar Al Bashir na wengine wengi… tabia za binadamu zinafanana, hawawezi kukubali kuteswa na kudharauriwa na kikundi kidogo cha watu kwenye jamiii.. Udikteta wa ccm, una mda mfupi sana kwenye Nchi hii. Hamuwezi kuua maelfu ya watu, then hamjutii wala kusikitika na bado mnatishia kuua zaidi.
32
143
623
13,601
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Kuna mengine nitawapakulia siku nyingine ila nikiwaambia hali mbaya mnielewe Nikiwaambia WANAKWAPUA mnielewe Wazalendo ndani ya mfumo you need to step up! Kutoa taarifa haitoshi! Watamaliza Tanganyika yetu! #TutaelewanaTu #SamiaMustGo
7
66
298
7,036
Killers wana propaganda za miaka 47
3
4
23
773
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Agenda kuu ya CCM kwa sasa ni Chadema Nahis hata Ilani Yao wameshaanz kuisahau
3
5
40
1,183
Mackphason מקפסון⚽ 🇯🇲 retweeted
Kwa sasa #StreetSoul kuna official @TommyHilfiger products. #JustFit kuna official @Nike ,@PUMA na @adidas products. Hizi zote zinatoka moja kwa moja kwao wazalishaji.
Bongo tuna maduka ya kuuza brands Au consumers hatuna, tukomae na Ilala boma
1
4
7
785