Freedom fighter/Human Rights/Fight for Democracy

Joined March 2017
2,093 Photos and videos
Pinned Tweet
Replying to @odompopodo
Udhalimu hata damu za watu zikamwagika Mungu anasema ole wenu,ole wenu,ole wenu Ole wenu mliowauwa ndugu zetu na kuwajeruhi kwa silaha za moto Ole wenu mliotoa amri ya watu kuuwawa kwa sababu ya vyeo namali Ole wenu wazeewanafiki mlioshauri haya yatokee ole wenu waliokaa kimya
2
2
5
310
HP wa zamani retweeted
Replying to @MariaSTsehai
Wanatusaidia sana kuonyesha maandama Pia wanasaidia kuonyesha dunia ukatili wao Wanasaidia kuonyesha wawekezaji ukatili wa nchi yao Wanasaidia pia kupmyesha kiwango chao cha uelewa unapokomea
2
5
1,488
HP wa zamani retweeted
Ukweli kabisa mmewapa watu ulaji tu ila kwa dunia ya sasa huwezi kudanganya na kufunika uovu kwa kununua uongo na kuuza uoaga kwa watu Kinachoweza kututoa hapa ni ukweli na kuwajibika basi Vitu hivyo viwili vinaweza kutuweka mahali pazuri kidogo Lakini hizi cinema mmmh noooooooo
2
4
70
HP wa zamani retweeted
Mwanzoni kabisa sikuwahi kuamini kwamba ipo siku kinaja kama huyu atapotea kama karatasi Nguvu kazi ya taifa mnauwa Brother nimekukumbuka sana mara zote ulisema kama kifo kitakukuta katika hali ya kutetea nchi yako hutakuwa na hofu Naamini kabisa ipo siku ukweli utajulikana
1
5
4
67
HP wa zamani retweeted
Replying to @HildaNewton21
Mama atakuwa Ameogopa kumwacha mwanaye nyumbani Au dogo atakuwa amelilia safari Au dogo amepewa kazi ya kumlinda mama
1
2
41
HP wa zamani retweeted
Watamuondoa ila tusitoke kwenye reli Reli yetu ni #freetundulissu #katibampya #uwajibikajiwa 29/10/2025
1
2
8
3,801
HP wa zamani retweeted
Mnakumbuka mnavyo tutesa, ndivyo mtakavyo teseka, mnaona mlivyo tudharau , ndivyo mtakavyo dharauliana, mnakumbuka mnavyo tuweka jela kwa ushahidi na kesi za uongo , ndivyo mtakavyo pelekana magereza, mnajua tunavyoishi kwa hofu ? sasa ni zamu yenu. Mnakumbuka mlivyoteka na kuua watu , sasa ile mbegu imeota kwenu. Hali yenu itakuwa mbaya sana, kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti. Bahati mbaya Nchi pia inaharibika.
28
194
1,095
33,932
Na sasa tusemeje
1
55
HP wa zamani retweeted
Hivi tuna wataalamu wa uchumi kweli kwenye hii nchi? Au tunao ila ni waoga kushauri? Russia inaenda kuanguka kiuchumi hata ukiangalia nchi zilifungama nazo wanajiondoa na kuwaachia matatizo Africa ya kati,mali nk sema tunapenda umaskini ili tutawaliwe
1
1
2
33
Kuna watu wana maumivu sana Huko uyole kuna mama alikuwa na mtoto mmoja tu akauwawa mbeya mjini na alipokuwa anazika akaanguka ghafla na kupooza upende mmoja Yani mwanaye kafa na kamwachia ugonjwa mama Halafu kuna mtu analeta masihara ya maisha ya watu
2
37
Yani wanaodaiwa kulipwa wasilazimishwe kutoa shukrani ila denge ndio alazimishwe kutoa shukrani kwa niaba yao Huu ujinga wa denge ni wa mwisho Kumbe kweli ukishakula vya ccm unakuwa tahira Uchawi upo ndugu zao Jamaa kawa mwehu hajui anachotetea ni kipi
1
2
123
HP wa zamani retweeted
Mkuu umenyoosha sana, hatukudai😁😁
oh wekeni space nimwage kila kitu, space kapewa anashindwa kujibu maswali, kupotezea watu muda tu.
68
111
418
52,298
HP wa zamani retweeted
Madenge aliniambia 'ooh unajua serikali imedai tunalipwa, sasa ni vema na sisi kuonesha yes tunalipwa na kuwashukuru wafadhili.' Sikumuelewa! Nikauliza tena - nani amekupa hayo maudhui? Akasema 'kuna jamaa yake anafanya kazi Ford South Africa ndiye kampa.'
21
108
687
28,621
Huyu anataka kuwatoa watu kwenye reli Ni takataka kama takataka zingine za kina chande Tumpuuze na kumlima block akaongee na chawa wenzake
1
1
3
94
Kwamba kwenye uhai wa mtu unalingasha na kwingine? Kwani africa mnashinda kuuwana?
43
Mna hela ya kuwalipia maseneta wa marekani kuja tz @SenTedCruz na wenzake waje muongee nao wakati huo huo mmekataa tume huru ya kimataifa ije ichunguze mauaji? Mnajiamulia wa kuwachunguza na njia watakazotumia kuwachunguza?
21
Chinguzeni vizuri kila tukimshinda hutu wanamleta mwingine Mpopo yeye kashagaragazwa na balile wake Sasa amekuja madenge na kundi lake toka uchawani huko Amekuja kujibizana na watu ahalalishe alichotunga mwanzo Ishu ni ile ile ionekane watu walilpwa kamati ya chande iwe halali
2
2
44
Baada ya mpopo kushindwa kushawishi watu sasa wamemtuma denge kuja kuhalalisha alichoandika mwanzoni kabisa Huu ni upuuzi na matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi Badala mtubu mnatumia pesa tu mkindhani mtasafishika
1
2
17