Huduma ya Baba, Mama na Mtoto inapatikana kuanzia saa 08:00 Asubuhi hadi saa 09:00 usiku. Jumatatu Hadi Jumamosi.
Chanjo Kwa watoto zinatolewa siku ya Jumanne na Ijumaa. kuanzia saa 08:00 Asubuhi hadi saa 14:00 mchana
Mawasiliano: 0759 811 111
Huduma ni HARAKA na UHAKIKA.