Ni uamuzi mzuri. Shule sasa zipambane kuongeza value kwa watoto. Mf. mtoto yupo KG2, unataka kumhamisha, inabidi afanyiwe interview afaulu ndio apokelewe. Sasa kazi ya hiyo shule ni nini? Kama Mtoto Mdogo inataka ajiunge na shule akiwa tayari anajua?!
UFAFANUZI
Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda akitoa ufafanuzi wa kina kuhusu uamuzi wa Serikali wa kutotangaza shule bora katika matokeo ya mtihani.