“Phone accessories 📱 | Chargers, earphones, covers | Bei nafuu | DM/WhatsApp 0719977139

Joined February 2023
124 Photos and videos
Pinned Tweet
Kuna Father amekuja na A05 anasema aliuziwa na kijana mtaani kwake , complain yake anasema simu imemuandikia locked baada ya kurestore nikamwambia hiyo ilikuwa na mkopo wakatoa mkopo kwahyo ulivyo restore ndoumeharibu akasema naomba unielekeze wanapapotikana hao watu credit ambao wameifunga hii simu yangu nikamwambia hiyo ni case kubwa inabidi ujiandae akasema wew nielekeze tu ofis hayo mengine niachie mim nikamuelekeza kuna branch wanakopesha simu sijui ni nn kilitokea huko ila mzee ni taita kinoma🙌
20
18
281
30,336
Beno🌴 retweeted
Nasikia wanawake wembamba wanaongoza kua na roho ya upendo 😃ya kweli haya?
42
47
119
5,477
Beno🌴 retweeted
Tanzania >>>>>>> Spain
19
28
31
659
Beno🌴 retweeted
Kuwa mwema kwa kila mtu lakini usitoe uaminifu wako wote kabla ya kumjua vizuri ✍️✍️✍️
2
18
22
355
Beno🌴 retweeted
Huyu Hashim Ibwe hii mechi ya Spain kila baada ya dakika 2 anamtaja Lamine Yamal😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
13
15
46
1,066
Beno🌴 retweeted
Nipo dirishan namsikia mtoto akiwaeleza wenzake kuwa mbele tena kuna maandamano yanakuja kaona hizo habari kwenye simu ya Mzazi wake Mmoja akasema ongea taratibu utakamatwa shauri yako sasa hapa najiuliza kwa umri huu tayari watoto wameanza kujadili kuhusu hayo mambo aise hatari
10
18
376
Beno🌴 retweeted
Spain walikuja na mastaa. Cape Verde walikuja na kipa wa miaka 40.😭
4
14
78
627
Beno🌴 retweeted
Kama utani spain kapita na matren yangu matano limebaki moja tu😂💔
17
19
59
1,458
Beno🌴 retweeted
Kati ya madude nasubili kwa hamu sana na wivu mkubwa ni hili MUTINY. Oya hili litakuwa na moto sana stori nzuri imetulia inatarajiwa kutoka mwezi ujao 🔥🔥🍿🍿
9
20
26
878
Beno🌴 retweeted
Katiba ni nini? Katiba ni sheria kuu na ya msingi ya nchi inayoweka mfumo wa utawala, mgawanyo wa madaraka, haki za wananchi na wajibu wa viongozi. Sheria nyingine zote zinapaswa kuzingatia katiba Faida za Katiba kwa Wananchi 📌Kulinda haki na uhuru wa wananchi kama uhuru wa kutoa maoni, kuabudu na kushiriki siasa 📌Kuzuia matumizi mabaya ya madaraka kwa kuweka mipaka ya mamlaka ya viongozi 📌Kutoa usawa mbele ya sheria kwa wananchi wote 📌Kutoa mwongozo wa kutatua migogoro kwa njia za kisheria 📌Kuhakikisha uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi #FreeLissu #KatibaMpya ni Sasa
10
46
84
1,599
Beno🌴 retweeted
Nipo nimetulia huku na mpenzi wangu (Binamu) tunaliangalia jua linavyozama Binamu anatafna bigjjjjj mimi nina tu ivory, so tunabadilishana mate vizuri tu
5
13
16
214
Beno🌴 retweeted
Kuna madogo hapa Manzese wameuza gofu lao kwa kibunda kirefu sana aise 350M afu kwao wako watatu tu. Kama mimi ndo ningekuwa miongoni mwao basi kadi yangu Bank na kila kitu kuhusu fedha zangu ningempatia Blessed tillah ♥️🫶🏽
16
30
225
11,648
Beno🌴 retweeted
Replying to @IamGabby_01
@IamGabby_01 mkeka wa jana huenda ulishutka kwann niliweka corner tu badala ya magoal ,timu kubwa kwa timu ndogo draw ina asilimia zake😁
2
5
13
225
Beno🌴 retweeted
Kukua kiakili 🧠 ni kutambua Gonzalo Garcia ni bora kuliko Mikel Oyarzabal.
9
19
89
1,515
Beno🌴 retweeted
Usiku Mwema. Moyo Wako Ujazwe Amani, Akili Yako Ipate Utulivu, Na Kesho Yako Ilete Matumaini Mapya, Nguvu Mpya Na Baraka Mpya. ♥🥳
9
13
33
501
Kuna jamaa alikuwa na BMW moja around 2023 alikuwa anasubil mida ya kagiza kuzama then anaingia mitaa ya chuo cha Rucu pale itoshe kusema watoto wa chuo wanapenda sana kimvuli jamaa alichafua sana kipande kile, alikuwa akienda huyu akiludi yule Itoshe kusema hiki kizazi cha milkshake & Cappuccino kinapenda sana kimvuli🚗😂🙌
4
6
33
1,796
Kimvuli 🚗
1
124
Beno🌴 retweeted
MAFUNDI WA SIMU NUNUENI VIFAA HAPA
Mobile phones 📲 Tools 🧰 🔥 Mje mnunue hii unaweza tumia kufungua code zote😎
1
2
3
50
Beno🌴 retweeted
Niaje. Mkiwa busy na kombe la Dunia niwakumbushe kuwa Samsung Galaxy S21Ultra zipo🔥 Ziko na 128gb/6Ram, Display finger print. Tsh 580k tu. Nicheki DM tufanye kazi🔥🙌🏽
2
13
21
840
Jamaa alikuwa mvuvi asietumia nguvu🙌
1
155
Beno🌴 retweeted
Delivery kwa mteja wangu Hii ni ADH fridge 110L Gharama yake - 430,000/= Dar es salaam free delivery Mkoani nauli - 30K 0747625726
13
22
818
Beno🌴 retweeted
Wateja wakike bhana namtongoza anahama duka kama vile tuna ugomvi..
27
41
115
3,100