Saidia kukuza ubora wa filamu malawi.
WANAUME ACHENI HIZI TABIA MARA MOJA😡‼️⚠️🚮
Nilikutana na huyu baba ni mtu mzima nadhan kwenye 40 posta kwenye ofisi moja ivi, tukabadilishana no za sm na kuanza kuwasiliana, akawa amenitongoza nikamkubalia, aka suggest tuonane nikaomba iwe open space kwanza, nika suggest na hotel twende dinner, tumeenda jana hotel moja maarufu, alinifata home, ametaka kunikis nikakwepa, tumefika pale parking akataka nikiss tena nikamwambia its too early, tukaingia akanishika mkono nilikuwa naona aibu ni mtu mzima sana, saa ngap asizungushe mkono kiunoni nikamtoa nikaona kanuna, basi tumeagiza msosi tumekula akaingia washroom hakurud kaniachia bill 158k nampigia hii bill nitalipaje?
Akasema ni mapema pia mimi kula pesa yake? Nilikuwa na ki akiba nikalipia but nimeumia sana Nadhan wanaume wafundishwe namna ya kuwa real gentlemen, kumfanyia mtoto wa kike kitendo kama kile ni utoto na ushamba