Ndugu zangu Mimi Nalala Ila nawakumbusha kuwa
Changamoto unazokutana nazo si ishara kwamba umepotea.Mara nyingi ndizo zinakufundisha masomo ambayo usingejifunza kwa njia nyingine.Makosa yanakupa Hekima,Majaribu yanajenga Nguvu,na Ushindi unakupa Matumaini ya kuendelea.
Usiogope