Siku hizi mapenzi kinyume na maumbile tunayachukulia ni sawa tu, hii ni kazi ya SHETANI. Mapenzi kinyume na maumbile ni CHUKIZO kwa MUNGU. Lakini watu wanampigia makofi na kumuona ni SHUJAA, wengine wakimfuata DM kuhitaji huduma yake. Kweli ni nyakati za mwisho ๐๐๐