Natural science technician

Joined January 2022
151 Photos and videos
Kuna namna Muhandisi anataka kutucheza uwanja wa standard hii kujengwa na club kwa miezi 18/20 ni muda mchache mnoo sijui kama tuna uwezo wa kutoa kitu cha hivyo hivyo kama walivyodisplay huu uwanja ni tofauti kidogo na ile michoro ya awali kipindi
1
13
hii agenda inaanza uwanja unaweza ukajengwa "unaweza" lakini sio kama huu wanaoudisplay. Sidhani, miezi 18 ni 2027 December, let's wait sababu wahandisi ni watu wa kutengeneza tatizo na kulitafutia ufumbuzi, wamejengwa kua hivyo
4
Ulitoka kitaa ukaendelea na shule, uliporudi ukakuta wana uliowaacha nyuma (kwa kufeli au kutozingatia elimu) wameMATCH foward kukuliko. Umegraduate, the same umeenda bush TAMISEMI umewaacha graduates wengine mtaa๐Ÿ˜ ukistaafu na wao utawakuta wameMATCH foward 100x. TUTHUBUTU
1
9
Wakuu miaka 64 ya uhuru keshokutwa tuu hapo na bado umeme changamoto? Nani alituroga, hitirafu haziishagi๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
1
44
Washika mitutu wasio na shabaha wameokota draw darajani๐Ÿ˜๐Ÿ˜
1
43
a l i w a t a n i JOE retweeted
#TajiriLaKihaya LEADERSHIP๐Ÿ’ฏ

48
201
1,114
38,593
Ni hilo tuu, hata wenye katiba nzuri kutuliko wanafeli kama sisi #viongozi walafi na hawashibi. They believe watakuwepo forever
12 Sep 2025
Nakumbuka slogan yako"Tatizo la Tanzania na Africa ni uongozi".๐Ÿค”
1
2
81
Mechi ya stars na Eswatin Mwamuzi kaenda kuangalia VAR, na yenyewe imestuck๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Africa tunafanana matatizo๐Ÿ˜๐Ÿ˜
52
a l i w a t a n i JOE retweeted
9 May 2025
The real meaning of revenge ๐Ÿ’”๐Ÿ™Œ
18
37
361
44,076
a l i w a t a n i JOE retweeted
Old is gold

3
9
89
15,064
a l i w a t a n i JOE retweeted
Jamaa alitisha sana ๐Ÿ˜‚
8
20
211
22,071
Tunashinda kama YANGA, tunapoteza kama YANGA. Tutarudi tukiwa imara zaidi. #THEcitizens
๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„โฑ๏ธ| #NBCPremierLeague Young Africans SC 0-1 Azam FC #TheClubAboveAll #DaimaMbeleNyumaMwiko
1
131
NI ASILI YA WATOTO WA KISHUA kupenda mafanikio ya wengine, wao wamekua wakiona ushirikiano wa wazazi/walezi wao na washirika wengine kwenye mafanikio ya FAMILIA zao. SANATA KI ni mama mzazi wa Stephane Ki AZIZ, ni mwanamke mwenye hadhi ya juu tuu kule pwani ya pembe za ndovu
1
1
200
(Ivory coast), Aziz hakukomaa sana na shule (home safi) aliamini miguu yake ina pesa nyingi kuliko MAJIMAJI na MFEKANE WAR kichwani. Ndivo maisha yalivo wanaothubutu ndio wanaofanikiwa. Kwa Aziz mafanikio ni team work, atakaa bench au ataanza kikosini goli likifungwa na yeyote
1
51
Atashangilia kuliko yeyote, ni asili tuu ya WATOTO WENGI WA KISHUA kufurahia mafanikio ya wengine. Kwa Aziz YANGA sio team tuu kama kituo cha kazi, kwake YANGA ni familia inatakiwa kushinda/ wengine wanatakiwa kushinda kwa sababu kweye team work, team inaanza kwanza.
40
Hizi mambo hizi๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Muingereza kwa Waislamu: โ€œUingereza ni nchi ya Kikristo, kwa nini umekuja hapa Kama hupendi tamaduni zake? Nyote mtarudi kwenu ndo sharia ipo. Ninyi ni saratani." Unafikiri nini?
1
39
a l i w a t a n i JOE retweeted
Muingereza kwa Waislamu: โ€œUingereza ni nchi ya Kikristo, kwa nini umekuja hapa Kama hupendi tamaduni zake? Nyote mtarudi kwenu ndo sharia ipo. Ninyi ni saratani." Unafikiri nini?
63
34
232
31,701
a l i w a t a n i JOE retweeted
BIG MEECH AACHIWA HURU Vyombo mbali mbali vya habari vimeripoti kuachiwa kwa moja ya wahalifu wakubwa na wauzaji madawa ya kulevya duniani Demetrius Flenory BIG MEECH ambae alikua Chimpalanga (Jela) tangu mwaka 2005. Naam Jina la Big Meech unaweza kua umelisikia kwenye๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
72
105
1,278
174,892
Don Pere mwenyewe alivo mnafiki sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, hii ilikua ni msimu ulopita. Anasema hata huyo Alphonso wenu hamjui๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… huyu muhuni ni ya UGOKO sana๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Don Perez anataka kung'oa huyu kwa free kabisa .! Ila huyu mzee huyu anafanya vilabu vikubwa vingine kama Academy yake ... wengine wenye wachezaji wazuri mjiandae na Bayern pia kwa Alphonso Davies ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
33