Leo kuna stori hapa wanangu tusome.
Kuna jamaa kanunua vocha ya jero kwa mama mangi akazuga kama anaikwangua hivi alafu akaiweka mfukoni akatoa ile nyingine iliyo kwanguliwa tayari akamwambia mama mangi "mama niliomba vocha ya jero ila wewe umenipa ya buku na nimeshaikwangua..