Kosa moja kubwa ambalo madikteta huwa wanafanya..
Ni kufikiria kwamba dikteta mmoja alieanguka:
1. Labda hakua makini au mbinu zake zilikua dhaifu.
2. Labda vyombo vya dola vya Nchi hiyo havikua makini kumlinda huyo dikteta kama ambavyo vinamlinda yeye.
3. Labda version ya udikteta wa yule alieanguka ni wa chini au wa kizamani sio kama wake.
Mwisho wa siku akianguka ndio anagundua kwamba yeye hakua na ujanja wowote kuliko wengine lakini inakua too late.
Dunia imeshuhudia Adolf Hitler, Gadaffi na familia yake, Mobutu Seseko, Omar Al Bashir na wengine wengiโฆ tabia za binadamu zinafanana, hawawezi kukubali kuteswa na kudharauriwa na kikundi kidogo cha watu kwenye jamiii..
Udikteta wa ccm, una mda mfupi sana kwenye Nchi hii.
Hamuwezi kuua maelfu ya watu, then hamjutii wala kusikitika na bado mnatishia kuua zaidi.