updates about all the artists ,latest news and gossips #stay tuned and switch on your notifications

Joined April 2020
14 Photos and videos
Kapeloo Gamba retweeted
5 Jun 2022
Aiseee.......kumbe ndiko tulikofika!!! Zitto is this from you my brother ? Haya chochea Moto ! Kwamba kuna watu wanawachukia Wazanzibar isipokuwa wewe! Kwamba kuna watu wadini ,isipokuwa wewe! I'm speechless! Nakumbuka Maneno yako pale hotel ya Golden Tulip, Muda utaamua!
51
53
263
Kapeloo Gamba retweeted
MKOME sasa! Mlijitia kiherehere wakati waliowatuma wakakimbilia nje ya nchi na watoto zao na wake zao! Mwingine maneno mengiiiiii aligalagala getini pale Umoja House utadhani siyo yeye mwenye kauli za kishujaa majukwaani Yuko wapi mtoto wa Lema, Msigwa,Spika wenu au sultani?
48
22
168
Kapeloo Gamba retweeted
Tumepokea taarifa kutoka Dodoma, kambi ya Magufuli bado ina nguvu sana. Pamoja na kuwaita Gwajima, Silaa na Polepole: Kamati Kuu ya Halimashauri Kuu CCM imeingia hofu sana. Ndugai amekua mkali. CCM imeamua haitawafukuza wanachama hawa bali itawapa onyo na kuangalia mwenendo wao.
43
71
397
14 Jul 2021
Hii dhana(hypothesis) nilifundishwa kitambo ila bado nazidi kuielewa taratibu. Maskini anapopata maskini wenzake wanapatwa na maumivu makali ya moyo.Tajiri akipata zaidi na zaisi maskini hao hao wanamshangilia. Mo, Manji, GSM, Dangote na Bakhresa wakipata tutashangilia. Mwenzetu?
3
27 Jun 2021
All the best @diamondplatnumz ...if you win or not, you will still remain the winner...your life is message ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ @wasafitv
4
The world should realize that the majority of Tanzanians support @diamondplatnumz to win the #BETAward2021. The Hate campaign against Diamond is carried out by very few activists who have personal issues. Entertainment should be distanced from Cheap Politics. #BETAward4Diamond
3
Najiuliza ikitokea wasanii wote mnaungana mnajitoa basata, Hao basata watafanya kazi nanani? Wasanii unganeni kupinga hili @Roma_Mkatoliki @HildaNewton21 @nikkwapili @diamondplatnumz
Binafsi nyimbo ni nzuri @neytrueboy hii ni hit song
1
24 Oct 2020
Mimi si mwanasia ila najiuliza kitu kimoja tu ikatokea nchi akaichukua Tundu Lissu hawa Askari wanaotumika kuvuruga mikutano ya Lissu watahamia nchi gani? @halimamdee @fatma_karume @zittokabwe @kigogo2014 @HecheJohn @TunduALissu @godbless_lema @Naytrueboy @Roma_Mkatoliki
1
Kapeloo Gamba retweeted
20 Oct 2020
Jaribu kua na maneno ambayo yanakujenga, popote unapozungumza iwe nyumbani, kijiweni, shuleni kazini, kwa marafiki au kwa mpenzi chagua maneno yanayo kujenga, epuka kua na maneno yanayo kubomoa....maneno yanaumba, jiumbe vizuri
50
43
655
18 Jul 2020
TUMIA NAFASI YAKO KAMA MWANAUME KUJUA THAMANI YA MWANAMKE,NA SIYO KUMWALIBIA THAMANI YAKE NA KUMWACHA,NA KUTAFUTA MWINGINE Hello mpendwa uhari gani,, Leo naomba ni seme na wanaume wenzangu,,,maana kuna baadhi ya wanaume hutumia muda wao wa kutosha kuharibu wanawake, hutumia muda
1
2
Kapeloo Gamba retweeted
10 Jun 2020
One billion views for Almasi ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘ congratulations... naskia ndio mwafrika wa kwanza kutoka kusini mwa jangwa la sahara.. Tungekua na umoja tungekuandalia kahafla flani nakukukabidhi tuzo,lakini๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ
265
219
4,237
26 May 2020
Corona imepita hata hili litapita tu @IdrisSultan @JideJaydee
1
10 May 2020
Ubunifu wa @Roma_Mkatoliki ni kielelezo tosha kuwa wewe ni mwana harakati hongera sana
2
Mbona fupi afu hit song
1
Wameshindwa bungeni wanaanza kuwafatilia waandishi wa habari na kuanza kuwazarilisha
Kumsaidia aende Wasafi Media YouTube kipindi chote cha asubuhi kipp pale sikiliza na lete clip hiyo aisee! Utaumbuka kaka! Sijawahi kukuzungumza miye! Nenda Wasafi Media YouTube kipindi kipo pale ukisikiliza naomba uniombe radhi. Miye sio mtu wa hivyo kaka!
1
Ukiskia ya huko makao yanatia hasira acha tu nimalize bando langu kwa haya nisije kufatwa na wenye mamlaka zao @halimamdee @JideJaydee
1
24 Apr 2020
sasa huyu kapanda juu kutafuta nini kwani hawezi kucheza mziki chini
1