Filter
Exclude
Time range
-
Near
Ndugu, mambo mengine mimi hushindwa kuelewa. I’ve always given out the ICT concepts I used to assemble 1-CCISD but they still say I even claim to have discovered breakers. The only thing I publicly say I have discovered is my Dealing Range. That’s my original idea and if you see it anywhere, I’m the source. The 1-CCISD baby is the reason I’ll be flying to South Africa and then Botswana to bring it to communities.
Dr White assembled a teachable course not a one trick pony entry model people clamoring here that belongs to Ttrades or Finesse Fx. Lakini watu hawakosi kubonga. And he always points to the ICT episodes that constituted to 1-ccsd. Anyway, to each their own
9
Taasisi ya Uchunguzi wa Vita @TheStudyofWar MPYA: Marekani na Iran zimefikia makubaliano mnamo Juni 14 ambayo kwa dhahiri yanatoa wito wa kusitisha mapigano katika maeneo yote, Iran "ifungue" Kipenyo cha Hormuz, na Marekani iondoe kizuizi chake cha majini kwenye bandari za Iran. Marekani na Iran zitatia saini makubaliano hayo mjini Geneva mnamo Juni 19. (1/2) Mambo Muhimu Mengine ya Kujifunza: Vigezo halisi vya Mkataba wa Makubaliano (MoU) havijatolewa hadharani wakati huu, jambo linalofanya iwe vigumu kutathmini jinsi Iran inavyoona mkataba huo kwa upande wa kufikia malengo yake. Maafisa wa Iran bado hawajatoa maoni kuhusu iwapo Iran itafungua upya kingo hizo bila ada. Haijulikani iwapo kingo "bila ada" na "wazi" zinamaanisha kwamba Iran inabaki na majukumu yoyote ya usimamizi juu ya kingo hizo. Iran imesisitiza mara kwa mara kwamba kingo hizo ziko chini ya udhibiti wa Iran na kwamba kingo hizo ni sehemu ya mkakati mpana zaidi wa Iran wa kuzuia. Shambulio la Israeli kusini mwa Beirut lilisababisha harakati nyingi za kidiplomasia kufikia makubaliano katikati ya vitisho vya Iran kwamba ingejibu kwa kushambulia Israeli. Maafisa kadhaa wa kijeshi na usalama wa Iran walionya mnamo Juni 14 kwamba Iran ingejibu shambulio la Israeli. Maafisa watatu wa Iran walisema kwamba Iran ilifuta shambulio lililopangwa dhidi ya Israeli baada ya Trump kuwasihi kuwa na subira. 2/ Ripoti Maalum ya Sasa ya Iran, Juni 14, 2026 isw.pub/IranUpdate061426
NEW: The United States and Iran reached an agreement on June 14 that apparently calls for a ceasefire on all fronts, Iran to “open” the Strait of Hormuz, and the United States to lift its naval blockade on Iranian ports. The United States and Iran will sign the agreement in Geneva on June 19. (1/2) Other Key Takeaways: The exact terms of the MoU are not publicly available as of this writing, which makes it difficult to assess how Iran views the agreement in terms of achieving Iranian objectives. Iranian officials have not yet commented on whether Iran would re-open the strait without tolls. It is not clear if a “toll-free” and “open” strait means that Iran retains any of its management functions over the strait. Iran has repeatedly emphasized that the strait is under Iranian control and that the strait is part of Iran’s broader deterrence strategy. An Israeli attack in southern Beirut prompted a flurry of diplomatic efforts to reach an agreement amid Iranian threats that it would respond by attacking Israel. Several Iranian military and security officials warned on June 14 that Iran would respond to the Israeli attack. Three Iranian officials said that Iran called off a planned attack on Israel after Trump urged restraint.
1
1
13
Game moja kali sana fulu kishambuliana.... Simba wa teranga wamenipa matumaini mapya mengine ya Timu za Africa,
7
दूसरे जीवन में בחיים אחרים Em outra vida Kwenye maisha mengine በሌላ ሕይወት Kwenye enye impilo A wata rayuwa Ninu igbesi aye miiran في حياةٍ أخرى
In Another Life 😓:
141
Taasisi ya Uchunguzi wa Vita @TheStudyofWar MPYA: Vikosi vya Uingereza vilizuia meli ya meli za kivita za siri za Urusi katika Handaki la Kiingereza kwa mara ya kwanza mnamo Juni 14. Mambo Mengine Muhimu: Rais wa Marekani Donald Trump alizungumza na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na Rais wa Urusi Vladimir Putin mnamo Juni 14. Kamandi ya kijeshi ya Urusi inaripotiwa kupanga kuhamisha miundo iliyobaki ya kamandi ya Kikosi cha Bahari Nyeusi (BSF) kutoka Crimea iliyokaliwa. Hivi karibuni vikosi vya Ukraine vilisonga mbele katika mwelekeo wa Oleksandrivka na Hulyaipole. Vikosi vya Urusi vilizindua droni 98 dhidi ya Ukraine usiku kucha. 2/ Tathmini ya Kampeni ya Mashambulizi ya Urusi, Juni 14, 2026 isw.pub/UkrWar061426
NEW: British forces intercepted a Russian shadow fleet vessel in the English Channel for the first time on June 14. Other Key Takeaways: US President Donald Trump spoke with both Ukrainian President Volodymyr Zelensky and Russian President Vladimir Putin on June 14. The Russian military command is reportedly planning to relocate remaining Black Sea Fleet (BSF) command structures out of occupied Crimea. Ukrainian forces recently advanced in the Oleksandrivka and Hulyaipole directions. Russian forces launched 98 drones against Ukraine overnight.
1
1
16
🤣🤣🤣 matoto mengine masenge kweli ushamba tu wa uchi
14
Replying to @Celsius015
Sas unaweka multigoals na umeomba goli tatu mzee ukiwa unatengeneza izo mbanga kuna machaguo mengine uwa ayaongezi chochote
12
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekanusha taarifa kuhusiana na picha mjongeo iliyochapishwa katika Mtandao wa Kijamii na mtu aitwaye Maria Sarungi akieleza kuwa Polisi amepigika Arusha. Akitoa taarifa hiyo leo Juni 14, 2026 Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Justine Masejo amesema taarifa hiyo ni ya uongo kwani Mkoani Arusha hakuna tukio lolote lililotokea kuhusiana na Askari kupigwa. SACP Masejo amebainisha kuwa inaonesha wazi kuwa picha mjongeo hiyo ilichukuliwa maeneo mengine nje ya nchi na kisha kutengenezewa maneno ya uongo. Aidha, amewaomba Wananchi kupuuza taarifa hiyo, kwani mtu huyo amekuwa akiandaa na kusambaza maudhui ya uongo, uchonganishi na kutaka kuleta taharuki kwa jamii jambo ambalo ni kinyume na makuzi, mila, desturi na mifumo ya kisheria. Jeshi la Polisi mkoani humo, limeendelea kutoa wito na onyo kwa baadhi ya watu wenye tabia kama hizo za kuandaa na kusambaza taarifa za uongo, kupandikiza chuki na kuchonganisha jamii kuacha kufanya hivyo kwani ni kinyume cha sheria. #KitengeUpdates
10
1,172
Wadogo zangu ukiwa sehemu yeyote zingatia kilichokupeleka utafanikiwa,mfano mwizi angetupuuza maybe asingekamatwa,katika maisha mara nyingi tunajikuta tuna feri mipango yetu kwasababu ya kuacha lengo kuu na kudandia mengine🥱muwe na Usiku Mwema😘
78
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa kuna askari polisi amepigwa mkoani humo, likifafanua kuwa video inayozunguka imetengenezwa kwa nia ya uchonganishi. Katika taarifa rasmi kwa umma iliyotolewa Jumapili, Juni 14, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejoa meeleza kuwa picha mjongeo (video) hiyo iliyowekwa mtandaoni na mwanaharakati Maria Sarungi haina ukweli wowote na haikutokea nchini Tanzania. Uchunguzi wa kiufundi na kiintelijensia wa Jeshi la Polisi umebaini kuwa matukio yanayoonekana katika video hiyo yalirekodiwa maeneo mengine nje ya nchi. Polisi wamedai kuwa picha hizo zilichukuliwa na kuunganishwa na maneno ya uongo ili kuaminisha umma kuwa tukio hilo limetokea jijini Arusha. “Mkoani Arusha hakuna tukio lolote lililotokea kuhusiana na Askari kupigwa na inaonesha wazi kuwa picha mjongeo hiyo ilichukuliwa maeneo mengine nje ya nchi, kisha kutengenezewa maneno ya uongo”, imeeleza taarifa ya Kamanda wa Polisi. Jeshi la Polisi limeeleza kusikitishwa na mwenendo wa baadhi ya watu wanaotumia mitandao ya kijamii kuandaa maudhui yenye kupandikiza chuki kati ya vyombo vya dola na jamii. Kamanda amesisitiza kuwa vitendo hivyo ni vinyume cha makuzi, mila, desturi njema za Kitanzania, pamoja na mifumo ya kisheria inayosimamia mawasiliano ya kimtandao. Polisi mkoani Arusha wametoa onyo kali kwa watu wenye tabia ya kuzusha, kuandaa, na kusambaza habari za uongo (Fake News) mtandaoni. Jeshi hilo limekumbusha kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu yeyote atakayebainika kukiuka sheria za makosa ya mtandao kwa makusudi ili kuchafua amani ya nchi.
1
8
592
Alex debrizy👑 retweeted
Kwanini Hiyo logo hapo kwa Brazil ni ya rangi ya Gold wakati mataifa mengine ni nyeupe?
15
27
267
20,151
Replying to @hamis_abas
Uyu tumuwai chap kabal ma team mengine ayajaingilia
3
Replying to @BracuszCadabra
Huyu mzee naye hana majukumu mengine kwani
1
1
211
#gamedev #mEngine #customengine 𝓶E Ǝ𝓶 𝓔𝓷𝓰𝓲𝓷𝓮 : Blah!Blah!Blah!...😁
2
7
Replying to @shobanes @NI_Mensah
Lakini mengine ni Sisi kama wakenya tuna enable hii bro
2
I mean you aren't RC thats for certain So uko amongst hayo mengine
1
25
Camel retweeted
Hili ni Dudunya tuu kama Madudunya mengine. Hayajatuambia mpaka leo kwanini waliuwa watu na kuzima mtandao ili wafiche ule uovu bila kujua hii ni karne ya 21. Acha waendelee kuna siku watakuja kumbuka too late.
1
2
97
Nimekula embe tamu sana leo mpaka nikarudi sokoni kununua mengine
2
beta retweeted
Next kupigwe clear out hapo darajani Xabi apewe kile anataka alafu hayo mengine atuachie sisi mafans
1
1
28
Wanashangilia adi offside, ilimradi mpira umegonga nyavu hayo mambo mengine sio shida zao😂😂😂
16