Mwishoni mwa mwezi Januari tulifanikisha mashindano ya michezo ya stadi za maisha ngazi ya mkoa.
Shule 7 kutoka katika halmashauri 7 za mkoa wa Kagera zimepata fursa ya kujifunza na kushinda mradi wa ujenzi kulingana na changamoto katika shule husika. #JamboFordevelopment
Dada Iman Paul aliyekuwa mkrugenzi wa @jambo4dev Kijana mwenye Maono na Dada she is no longer with us, Alikuwa ni kati ya wasafiri kwenye Ndege ya Precision
Mwenyezi Mungu ampe Pumziko la Amani
Hakuna Msongamano Tena!
Wanafunzi katika shule ya msingi Kijumbura wilayani karagwe wamepokea madarasa manne yenye samani ndani yake.
Hatua hii ni muendelezo wa utekelezaji wa miradi katika sekta ya elimu msingi Ili kuchochea elimu bora kwa kila mtoto.
#JamboForDevelopment
During Bonanzas, children come, play, compete and have fun together.
We empower girls by ensuring their 50% participation in our games.
To promote inclusiveness, schools with special needs children are given equal opportunity to participate in the games.#LifeskillsGames
Children are amongst vulnerable group in many societies.
Their opportunity are limited by early marriages, illiteracy and many more.
Through life skills games we give all children an equal opportunity to learn the basic life skills. #jambofordevelopment
Nothing is stopping children and young people like Emmanuel from Tanzania from advocating for things they are passionate about.
Ahead of #WorldChildrenDay, tell us in the comments about a cause you care about. @voicesofyouth
"Vyoo vilivyoboreshwa vinatukinga na magonjwa lakini pia vinatupatia usiri tunapokuwa tunavitumia hususani watoto wa kike"-Catherine mwanafunzi wa darasa la tano katika shule msingi Byamutemba-Missenyi. Baada ya uzinduzi wa vyoo
#JamboForDevelopment#JamboBukoba#BetterEducation