HIM๐Ÿฆ…

Joined December 2022
1,025 Photos and videos
Wewe ndio unapenda udini sana humu ndio maana hata hili la vita umesimamia Iran kwasababu ya udini sio fact Hakuna kuungana kila mtu apige anapoweza kufikia mkuu
#TajiriLaKihaya Sisi Waislamu na WAKRISTO inabidi Tuunganeโ€ฆ. Uislamu haujawahi kuwa na uadui na Ukristo hata siku moja! Inabidi tuungane kuwatokomeza hawa wazayuniโ€ฆ Ukisoma Qurโ€™an na biblia mitume wote walikuwa wanapinga Kuabudu SANAMUโ€ฆ Ni Propaganda tu za Wazayuni ndio zinajenga chukiโ€ฆ Miongoni mwa watu Wayahudi (sio wazayuni) na Wakristo ndiyo waliyo karibu zaidi na Waislamu na wao wamepewa cheo cha kuitwa watu wa Kitabu- AHLUL KITAB. Ahlul kitaab tuna imani ya Mungu Mmoja Allah-Mtukufu na waliopokea maandiko kutoka Kwake, Taurati kwa Nabii Musa na Injili kwa Yesu (Nabii Isa bin Mariamu). Wote tuna imani katika mlolongo wa unabii, na wengi katika marafiki zetu Mayahudi na Wakristo hushangazwa wanaposikia kuwa manabii wanaotajwa katika Biblia pia ni manabii katika Uislamu. Dini hizi tatu zina kanuni za kimaadili zinazofanana. Qurโ€™an inasema; (Al-Baqarah: 136) "Semeni nyinyi: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa sisi, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa na Isa, na pia waliyopewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake." Waislamu wanaruhusiwa na Uislamu kula chakula cha watu wa Kitabu (isipokuwa kile kilichoharamishwa kama vile pombe au nyama ya nguruwe) na Waislamu wanaweza kufanya vivyo hivyo kwa kuwapa chakula chao, Mwislamu mwanamume anaruhusiwa kumchukua Mkristo anayefuata mafundisho sahihi ya Nabii Isa bin Mariamu kama mke kwa kumwoa (uhusiano uliyo wa karibu mno uliyo barikiwa)n na Katika hali hiyo itakuwa haramu kwa mume Mwislamu kumlazimisha mkewe kuingia katika Uislamu, kwani itakuwa ni kinyume na agizo la Qurโ€™an; (Al-Baqarah: 256). " Hapana kulazimisha katika Dini." Kwa hakika utakuwa ni wajibu wake wa kidini kuhakikisha haki za mkewe kuabudu kwa mujibu wa imani yake. Waislamu wameonywa dhidi ya vitendo vya ubaguzi au kisasi au chuki kwa Watu wa kitabu, na Mtume Muhammad (S.A.W) amesema: "Yeyote atayemdhuru mtu miongoni mwa Watu wa kitabu ni kama vile kanidhuru mimi mwenyewe." Kwa mtazamo wa Uislamu watu wote ni sawa mbele ya Mwenyezi Mungu na hakuna mtu au kundi kinachoweza kudai kuhodhi rehema ya Mwenyezi Mungu Mtukufu au kuwanyima wengine, Qurani inasema: (Al-Baqarah: 62) " Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipo yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika. ." Wakristo na Waislamu tuna mengi yanayotuunganisha kuzidi yanayo tutenga! TUUNGANE๐Ÿค
47
43
249
16,999
Usiogope, maana mimi niko pamoja nawe; usifadhaike, maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia; naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu~Isaya 41:10
20
64
138
1,978
8 Nov 2025
HESABU 35:33
2
57
WEED retweeted
AD NAOMBA RETWEETS WAKUU ๐Ÿ”ฅ Bei imeshuka! Sasa ni 100,000 tu badala ya 110,000 changamkia fursa! Bei mpya za vifurushi: ๐Ÿ“ถ 70,000/= 25Mbps (siku 30) โšก 100,000/= 40Mbps (siku 30) ๐Ÿ“ž Mawasiliano: ๐Ÿ“ฒ Simu: 0693947007 ๐Ÿ’ฌ WhatsApp: wa.me/255693947007 ๐Ÿ“ฉ DM: @amosrichar14147
15
40
52
4,726
Ndugu wateja naombeni mnunue hizi kofia Bei ni 8k tu free transportation si mnaona mimi nimependeza ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ”ฅ
29
41
99
6,253
WEED retweeted
๐Ÿ“ˆ Kwa waliosahau msimamo wa Ligi Kuu ya NBC na Ligi Kuu ya Wanawake. Hali ipo hivi ๐Ÿ˜Ž #WenyeNchi #NguvuMoja
14
57
920
20,198
WEED retweeted
12 May 2025
ODU INTANETI yake ina speed kubwa pia inastahimili hali yeyote jua mvua. Hii inafungwa nje na nyingine ndani, ya nje kwaajili ya kudaka mawimbi ya intaneti kutoka minara ya 4G na 5G,Malipo ni 110k Kufungiwa bure na hapo unapata na intaneti bila kikomo 0783814501 #Rt
6
18
84
6,463
WEED retweeted
Chapati za dubai zimekufikia mteja wetu Iphone 11 plain Gb64 Faceโœ… Ttโœ… Battery 90-100 ๐Ÿ’ฐ480,000 โ˜Ž๏ธ0685292370 Naomba repost yako ๐Ÿ™
11
95
93
5,366
WEED retweeted
#VisitMbeya Mghonile/mwagona/mwakata/mwalamusha nasema wao huita Mbeya sisi tunaita Nyumbani.
7
19
76
5,471
8 May 2025
๐Ÿ˜‚ Isidingo Fc
2
1
3
153
7 May 2025
๐Ÿ˜‚Unakatwa na google master
Replying to @jonasjohn094
Mtoto msenge sana wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1
1
86
Asanteni @hereiseddy_ na @Rony__Jons kwa kuniamini Mmoja aliagiza saa mwingine akaagiza water pattern light leo zimefika wakipokea watatoa feedback ๐Ÿซฐ
7
26
70
3,928
27 Apr 2025
๐Ÿ˜‚
1
46
GOOODMORNING TWEEPS Wale wafanyabiashara na wapenda nguo So kuna order ya ma tshirt hap nilikuwa natengeneza Tshirt moja ni cotton Nzuri Kwa ambae anaye hitaji analipia 6500 tu kila tshirt moja 5000 tshirt 1500 usafiri wa meli tuagize nyingi KWA anaechukua pc 10 = 6000
21
68
112
8,205
20 Apr 2025
Kwakua anadaka bibi yako sio?
1
122
20 Apr 2025
20 Apr 2025
Replying to @NYESEJR
Yes mtu anapozaliwa anazaliwa akiwa Muislam hivyo wengine hu retard na kuwa dini zingne. Ila in Nature kila kitu kilichopo duniani kinajisalimisha kwa Mungu mmoja. Hata Yesu alijisakimisha kwa Mungu mmoja ndomana pasaka waliitumia kuchinja na sio kufa kwake
2
89
WEED retweeted
Melanin ๐Ÿ–ค
40
38
609
57,126
18 Apr 2025
RAMANTODA completed ๐Ÿ˜‚
โณ:dak 89' La tatu๐Ÿ™Œ TZ Prisons 3๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ JKT Tanzania
1
47
WEED retweeted
HALA MADRID VAMOS MI MADRID๐Ÿ‘Š
16
24
46
923