UKWELI MCHUNGU: Kama baba yako angeamua kukwambia mabaya aliyokuwa anafanyiwa na mama yako hiyo heshima unayompa mama yako leo wala usingempa. Mama zetu tunawaheshimu na kuwapenda kwa sababu tu baba zetu waliamua โkufa kiumeโ na mambo yao moyoni. Heshima kwa wababa/wanaume wote!!
Sio kudeal na matatizo na changamoto za walipa Kodi huku mitaani, nafasi za uongozi wa umma imekuwa kama fimbo ya kutuchapa ili tubaki kwenye matatizo yale yale toka Uhuru
Mapoti wanaokaa kwenye barrier kabla ya GATE NO 3 wanapenda interview kishenz. Unaenda wapi Kamanda? Naenda nyumbani fungua geti huku ndo kweupe Kilwa Rd wataniua
Mapoti wanaokaa kwenye barrier kabla ya GATE NO 3 wanapenda interview kishenz. Unaenda wapi Kamanda? Naenda nyumbani fungua geti huku ndo kweupe Kilwa Rd wataniua