Janja aibiwe penseli lazima na yeye aibe apate ya kuandika hio ni survival mode tu ya kawaida
Wala haimfanyi mtu kuwa mwizi zaidi inamfanya kuwa mpambanaji
Wote tumepita huko
Mtoto anaenda shule anarudi na sweater sio lake na hamna mtu anauliza, anarudi na penseli sita hamna anayeshtuka. Huku mwingine akiibiwa penseli, nyumbani mzazi anamwambia “wakikuibia na wewe iba”. Mtu tangu mdogo anaamini kuchukua kitu cha mtu ni sawa.