#Thread Leo nmekumbushwa kisa kimoja na Mama fua alikuja kugonga mlangoni kwangu akiomba kazi ya kufua,but i have my own though amesafiri,Nlikumbuka kuna siku niliamka mapema sana nkamuanda Ethan kwenda shule(Kindergaten),alivyofika sikurudi nyumbani cause i was desperate to have
Kuna siku nilikutana na mtoto mmoja wa kishua town, nilimwambia “mi nakaa Gomz” akaniuliza ndo wapi nikajibu Gombolamboto bado akauliza tena “iko wapi??”
Aagh! niliishiwa nguvu wazee na nikajua kumbe mi bado siishi Dar.😅